Saturday, September 20, 2008

CHAKULA (Kräftor=kamba wa mtoni)


Karibuni wote huu ndiyo mlo wa leo. Ni hivi kila mwaka hapa Sweden mwezi wa nane katikati mpaka wa tisa katikati .Ni kipindi cha kula kamba wa mtoni, mila na desturi. mimi napenda sana. Kama kuna mtu hapendi asiogope kuja kuna chakula kingine tena kingi tu. KARIBUNI SANA

No comments: