Wednesday, April 22, 2009

WATOTO WA NYERERE NA AMIN WAKUTANA

Bofya HAPA kusikia mazungumzo yao.

Jaffar Amin mwana wa Idi Amin aliyekuwa rais wa Uganda, na Madaraka Nyerere mtoto wa rais wa kwanza wa Tanzania, Julius Nyerere, wamekutana kwa mara ya kwanza kijiji Butiama.

No comments: