Sunday, November 29, 2009

JE? UNANIKARIBISHA NYUMBANI MWAKO!!!!!!! PIA LEO NI JUMAPILI/DOMINIKA YA KWANZA YA MAJILIO YA MWAKA C



Naondoka nyumbani kwa Yasinta sasa na nimeacha baraka, je? unanikaribisha kwako? Nipokee kwa upendo na unitume kwa wengine/nyumba nyingine ili niweze kuwabariki wao pia. Uwe na siku yenye baraka. Nipo mlangoni, nabisha hodi. Kama kuna mtu ananisikia na afungue mlango. Nitaingia ndani na kula nao/nanyi katika meza yenu/yao. Sasa anaenda nyumbani kwako mwache yeye akubariki na umwonyeshe nyumbanyingine. MUNGU NI MKUBWA!!!!!!!JUMAPILI NJEMA KWA WOTE!!!

4 comments:

Simon Kitururu said...

Nawasiwasi na uelewekaji wa MAANA YA ujumbe hasa kama kiimani hujakaa Kikristo na si Mkristo!:-(

LAKINI labda walengwa ni wa Kristo.:-(

Faith S Hilary said...

Mmh...mi naona mbona kama mtu yoyote ataelewa tu...na anajua mwenyewe atakachafikiria kichwani, either amkaribishe bwana ama ala. Jumapili njema na wewe dada Yasinta :-)

chib said...

@ Simon, :-/

Chacha o'Wmbura said...

@ Mt simon...duh