Friday, August 5, 2016

NAIPENDA AFRIKA YANGU NA UTAMADUNI WAKE.....

Mara nyingi sana huwa nakutana na maswali mengi sana...kama vile:- Hivi kwa nini waafrika mnaweza kubeba mtoto mgongoni na kubebamzigo kichwani kwa wakati mmoja? au mnawezaje kubabe ndoa la maji kichwani bila kuanguka? Huwa nawaangalia na kufurahi tu kwa raha na kujivuna ...Je wewe umewahi kufikiria hili? Lakini sijui huku tuendeko kama hasa hili la kubeba watoto mgongoni litaendelea...

No comments: