Monday, October 17, 2016

NI JUMATATU NYINGINE NA WIKI MPYA BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO IMEONA IANZA KWA MTINDO HUU...MAMBO MAHIMU KATIKA MAISHA AMBAYO YAPASWA TUYAZINGATIE....

Katika maisha kuna vitu/mambo saba ambayo wote tunapaswa kuyajua... nayo ni kama yafuatayo :-Furaha, karaha, misukosuko, majonzi, migogoro, mikasa na  chuki.
Haya yote husababishwa na viumbe hai kama mimi na wewe, ili kiyashinda haya yatupasa tuwe na mambo nne(4) nayo ni:- Subira, uelewa, uvumilivu na msamaha. Lakini pia katika maisha yako uwe karibu sana  na mambo haya manne :- msimamo, mkweli, ujasiri na Imani na halafu epuka sana mambo haya matano yafuatayo:  Udanganyifu, uchoyo, ubinafsi, wizi na ufitina
WAZAO LA LEO:- Kumbuka kumjali anayekujali hata kama yupo mbali nawe. Mpende anayekupenda hata kama hana kitu jali utu kuliko kitu.
NAWATAKIENI SIKU NJEMA

No comments: