Monday, February 27, 2017

MALEZI:- WAACHE WATOTO WAWE WATOTO

Katika jamii yetu wengi wanadharu sana micezo ya watoto. Wanaona ni kupoteza mida tu lakini tukumbuka kwamba michezo yote wafanyayo watoto inachangia sana ukomavu wa ubongo wao maana pale hawachezi tu wanajifunza kitu pia. Kwa mfano katika michezo mingi ya watoto kuna kuhesabu kwingi sana, hapa tayari anajifunza kitu...tuwape nafasi watoto kuwa watoto na pia kama wazazi tujaribu kuwa pamoja nao na kushiriki baadhi ya michezo.
CHUKUA DAKIKA TU ANGALIA HII VIDEO HAPA CHINI ......

UJUMBE:- WAZAZI/WALEZI WATOTO WETU WANATUHITAJI SANA TUTENGE MUDA KWA AJILI YAO. TUSIWASAHAU NI JUKUMU LETU.

No comments: