Tuesday, April 11, 2017

WATOTO UWALEAVYO NDIVYO WAKUAVYO...MICHEZO !

 Michezo hii huwajengea watoto tunu njema kama umakini, furaha, urafiki, ubunifu, kuchemsha bongo na pia kutulia nyumbani na mengine mengi.
Hapa wakicheza mdako...nimekumbuka mbali sana maana nilikuwa nikipenda sana huu mchezo...hapa pia yahitaji umakini maana wakati wote ni kuhesabu tu...Vipi nawe ndugu msomaji una mchezo ambao ulicheza enzi hizo?

No comments: