Tuesday, June 20, 2017

UJUMBE KUTOKA KWANGU KAPULYA KUJA KWENU

Sisi binadamu ni wanasheria (mahakimu) wazuri kwa makosa yetu, lakini ni watu wazuri sana kuhusu makosa ya wengine
NAWATAKIENI HII SIKU YA LEO IWE YENYE AMANI NA FURAHA PIA. PANAPO MAJALIWA TUKUTANA PAPA HAPA. KAPULYA

2 comments:

Salehe Msanda said...

Amina. Asante kwa ujmbe mwanana

KilA LA KHERI

Yasinta Ngonyani said...

kaka salehe ahsante!