Wednesday, November 1, 2017

NASHANGAA MARA HII TUNAANZE MWEZI MPYA NAMI NIMEONA TUANZE MWEZI HUU KIHIVI...

Mdada anashanga utadhani anatoka usingizini ...lakini hapo ni kwamba anashanga kumbe leo ni mwezi mpya....natumaini wenzangu hajashangaa kama mimi Kapulya....
PANAPO MAJALIWA...

2 comments:

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Mie naona hushangai bali unataka sisi tushangae kusikia kuwa unashangaa wakati hushangai. Nashangaa kushangaa mtu asiyeshangaa ambaye bila shaka atanishangaa kwa kumshangaa bila kujishangaa kama anavyojishangaa wakati hashangai bali kutaka wengine wamshangae huku wasijue wanajishangaa kwa kumshangaa mtu asiyejishangaa bali kuwashangaa wanaomshangaa wakati hashangai chochote bali kuwashangaa wao wanaomshangaa wasijue wanajishangaa kwa kushangaa pasipohitaji kushangaa bali kujishangaa wakidhani wanawashangaa wengine wanaowashangaa kwa kushangaa kisichoshangaiwa bali kushangaa shangaa kwa kutaka kushangaa shangaa pasina maana ya kushangaa zaidi ya kufanya wengine wawashangae.

Yasinta Ngonyani said...

Duh hizo kushangaa kaka...Nimependa jinsi ulivyoandika na kuacha kushangaa wakati mie nashangaa:-)